Atukuzwaye Shewedi

Pod ya Ahmad Shelimo - Shule ya Ustaarabishaji na Usasa. Mwanasiasa wa ACT - Wazalendo na Muumini wa Usawa.

Listen on:

  • Podbean App

Episodes

Monday Sep 28, 2020

Chunga sana. Hawa Siwo kabisa

Friday Sep 25, 2020

Kizuri kula na Ndugu zako. Wasafiri wa Mikoani Zawadi yenu hii. Ukiweka Comment utaongeza Motisha wa Kuzidi kusambaza Maujanja na Upendo huu. Namii taarifa hii itawabariki wengi.

Sunday Sep 20, 2020

Kuzuia Wanao Waliokwisha Baleghe kushiriki Mapenzi ni Uzalishaji wa Malaya, Wazinifu na Wasenge. Birthday ya 13 ni wakati Muafaka wa Kuwa na Rafiki maalum, Mpenzi. Kufuta Mikanganyiko. Neno Mke na Mume yafike Mwisho. Na yanadhambi kubwa hayo maneno. Maneno haya ya Kingereza yachukue Nafasi - Boyfriend na Girlfriend. Pia Mjifunge humo. Boyfriend and Girlfriend yamaanishe Rafiki naam Rafiki pia lazima yamaanishe Mpenzi. Sitarajii utafanya Mapenzi na Adui. Sitarajii kuwa Utamdhuru Rafiki

Wednesday Sep 16, 2020

Afya ya Akili - Ulimwengu wa Roho unanafasi yake. Utopolo nao unanafasi yakitika Ulimwengu Roho na Afya ya Akili. Mimi ninayonafasi kubwa kwenye Roho na Afya ya Akili. Ndio maana Watoto na Wendawazimu hunena nami kwa hekima. Na wanaojidai kuwa na hekima huumbuka. Wasalamu

Shambalai Ni washenzi Waliooza.

Saturday Sep 12, 2020

Saturday Sep 12, 2020

Kama sio kuwa Salio Kidogo, Huenda ikawa leo Ningelala Wodi ya Vichaa Muhimbili. Hiyo ndio Tanzania ya Mchana Giza - Young Killer na Relax ya Darassa. Kichwa ya CCM msiicha salama. Mwenye Elimu anachezewa Hivi! Je Mburula Mtu wa Shamba Itakuwaje?.

Tuesday Sep 08, 2020

Kule Wanasema Black Matters, Ndio ni wakati wake. Ila hapa __ Every Life matters. Kazi kwenu na Nchi yenu

Monday Sep 07, 2020

Kuwa Baraka. Acha Athari Chanya.

Ahsante Kwa kuelewe

Sunday Sep 06, 2020

Sunday Sep 06, 2020

Mjinga hayupo kwa Ajili ya Kuibiwa na Dhaifu hayuko kwa Ajili ya Kudhulumiwa. Taasisi nyeti na zenye Maadili ya Weledi. Ziwe Tayari, Sasa na hata Milele.

Sunday Sep 06, 2020

Nyoosha Maelezo. Japo Sentensi mbili Juu ya Hii Podi

Friday Sep 04, 2020

Vita na Atukuzwaye ni Uwendawazimu - Kwenye vita hivyo Mwanao atarithi nini. Anarithi ujinga ujinga tu na Upumbavu. Mti mwema twaufahamu kwa Matunda yake. Na Mtu mwema twamfahamu kwa Matendo na Maneno yake. Kanisa, Msikiti au Shule izalishayo Washenzi lazima ifungwe. Serekali yenye Ushenzi lazima Iondoshwe

Copyright 2024 All Rights Reserved

Podcast Powered By Podbean

Version: 20240320